
Maalim Seif akipokea fomu ya kugombea urais

Maalim seif akitia saini kuthibitisha kuchukua fomu.

Maalim seif akionyesha fomu kwa wananchi na waandishi wa habari.
Maalim seif anakuwa ni mgombea wa kwanza kuchkua fomu ya kuwania nafasi hiyo kupitia chama cha wanachi CUF ambapo historia inaonyesha kuwa amekuwa akikosa wapinzani kwa nafasi hiyo ndani ya chama chake, Maalim Seif anagombea nafasi hiyo kwa mara ya nne mfululizo.
No comments:
Post a Comment