Friday, May 29, 2015

MAALIM SEIF KUGOMBEA URAISI TENA ZANZIBAR.

Share it Please

Maalim Seif akipokea fomu ya kugombea urais

Makamu wa kwanza wa raisi wa serikali ya mapinduzi zanzibar na katibu mkuu wa chama cha wananchi (CUF) Maalim Seif Sharif Hamad, leo amechukua  rasmi fomu ya kuomba kuteuliwa na chama chake kugombea nafasi ya raisi wa serikkali ya mapinduzi zanzibar kupitia chama cha wananchi (CUF).

Maalim seif akitia saini kuthibitisha kuchukua fomu.


Maalim seif akionyesha fomu kwa wananchi na waandishi wa habari.

Maalim seif anakuwa ni mgombea wa kwanza kuchkua fomu ya kuwania nafasi hiyo kupitia chama cha wanachi CUF ambapo historia inaonyesha kuwa amekuwa akikosa wapinzani kwa nafasi hiyo ndani ya chama chake, Maalim Seif anagombea nafasi hiyo kwa mara ya nne mfululizo.

No comments:

Post a Comment

Followers

Follow The Author