Tayari mkutano mkuu wa chama hicho umefunguliwa leo jijini arusha katika hoteli ya Ngurdoto kwa hotuba ya rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania Dk, Jakaya M. Kikwete ambapo ameahidi kutatua changamoto zinazowakumba walimu kabla ya kuondoka madarakani oktoba mwaka huu.
Raisi kikwete akiwasili ukumbini kufungua mkutano huo.

raisi kikwete akihutubia walimu wakati wa ufunguzi wa mkutano huo.
Jumla ya walimu zaidi ya 1000 kutoka sehemeu mbalimbali Tanzania wametarajiwa kuhudhuria mkutano huo ambapo katika uchaguzi huo walimu wanatarajia kuchagua viongozi katika ngazi za Mwenyekiti, katibu naibu katibu na mhazini.
Rais kikwete akiteta jambo na mmoja wa waasisi wa chama cha walimu tanzania (CWT) ndugu Thom abieko
No comments:
Post a Comment