Sunday, October 11, 2015

SIKU 13 KUELEKEA UCHAGUZI MKUU, CCM YAFANYA KIKAO CHA DHARULA JANA. DR BILAL ASHIRIKI

Share it Please
Displaying 1.jpg

wajumbe wa kamati kuu ya CCM wakiwa wamesimama kuomboleza kifo cha aliyekuwa Mbunge wa Ulanga Mashariki, marehemu Celina Kombani, wakati walipokutana kwa dharula jijini Dar es Salaam, jana Okt 10, 2015. Picha na OMR

Displaying 2.jpg

Mjumbe wa Kamati Kuu CCM, na Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungabo wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisalimiana na ........baada ya kumalizika kwa kikao cha dharula, kwenye Ukumbi wa CCM Makao Makuu Lumumba jijini Dar es Salaam,jana Okt 10, 2015. Picha na OMR

Displaying 4.jpg

Mjumbe wa Kamati Kuu CCM, na Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungabo wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, Katibu Mkuu wa CCM, Abrahman Kinana (kushoto) na Mjumbe wa Kamati Kuu, Salim Ahmed Salim (katikati) wakifurahia jambo nje ya ukumbi wa CCM Makao Makuu Lumumba, baada ya kumalizika Kikao cha dharula, jana Okt 10, 2015. Picha na OMR


No comments:

Post a Comment

Followers

Follow The Author