Mkurugenzi wa Idara ya Habari Maelezo na Msemaji wa Serikali Dk. Hassan Abbas (kulia), akihutubia wakati wakati akifungua Mkutano Mkuu wa Mwaka wa Tanzania Bloggers Network (TBN), Dar es Salaam leo asubuhi. Kushoto ni Mwenyekiti wa muda wa TBN, Joachim Mushi.
Mkurugenzi wa Idara ya Habari Maelezo na Msemaji wa Serikali Dk. Hassan Abbas (kulia), akihutubia wakati wakati akifungua Mkutano Mkuu wa Mwaka wa Tanzania Bloggers Network (TBN), Dar es Salaam leo asubuhi. Kushoto ni Mwenyekiti wa muda wa TBN, Joachim Mushi.
Mmoja kati ya wamiliki wa mtandao wa Jamii Forums, Maxence Melo, akitoa moja ya somo katika mafunzo hayo.
Baadhi ya washiriki wakiwa katika mkutano,mafunzo hayo.
Baadhi ya washiriki wakiwa katika mkutano,mafunzo hayo.
Picha ya pamoja. Picha zote na Mafoto Blog
Mmiliki wa Blog hii, Sufianimafoto akifuatilia kilichokuwa kikiendelea ukumbini hapo.
Blogger Kitime akichangia mada
Maofisa wa Kitengo cha Uhusiano wa Benki ya NMB wakibadilishana mawazo. Kushoto ni Doris na Joyce Nsekela. KUSOMA ZAIDI BOFYA READ MORE